Ãå±±½ûµØ

Dk Babio (kushoto) na Dk Amoussouvi wakijiandaa kwa ziara ya wagonjwa wote waliolazwa hospitalini.

Katika hospitali ya Benin, daktari mwanamke anaongoza mapambano dhidi ya COVID-19

Mtaalam wa dharura za kimatibabu na majanga, Dkt. Babia aliwahi kukabiliana na majanga manne ya kiafya.