Ni muhimu wazazi wawafunze watoto lugha ya mama-mtangazaji wa lugha ya mama

Get monthly
e-newsletter

Ni muhimu wazazi wawafunze watoto lugha ya mama-mtangazaji wa lugha ya mama

山News
By: 
Lugha mbalimbali. Picha: UNESCO
Picha: UNESCO. Lugha mbalimbali
Picha: UNESCO. Lugha mbalimbali

Katika kuadhimishasiku ya kimatifa ya lugha ya mama,Umoja wa Mataifai unasemaasilimia 43 ya lugha 6000 ambazo zinazungumzwa leo duniani ziko hatarini kutoweka. Na kwamba ni ni mamia kadhaa tu yalughaambazo zimepewa nafasi katika mifumo ya elimu na kutumika kwaumma nanichini ya lugha100ambazo zinatumika katika mtandao wa kidijitali.

Licha ya hali hii lakini kuna baadhi ya jamii ambazo zinajivunia lugha ya mama na ni kawaida kusikia matangazo ya lugha za mama mbali mbali kupitia radio na hata televisheni, ni kwa mantiki hiyo nimezungumza na mmoja wa watangazaji wa lugha ya mama Gakenia Gakeni ambayeanatangazakwenye moja ya radio nchini Kenyanaamenielezea umuhimu wa siku ya leo

(SAUTI GAKENIA)

Na je vipi kuhusu dhana ya kwamba kutangaza na lugha za mama kunachangia katika kueneza ukabila

(SAUTI GAKENIA-2)

TAGS: Siku ya lugha ya mama, UN