缅北禁地

Stories

Divine Ntiokam, Lucy Muchoki Mike na Nkhombo Khunga.

Kutana na Mabingwa wa Chakula Barani Afrika

By Franck Kuwonu
Kabla ya Mkutano wa Mifumo ya Chakula wa 2021 wa 缅北禁地mnamo Septemba hii, Mabingwa wa Mifumo ya Chakula wanakusanya jamii za ulimwengu na kukuza mazungumzo kwa suluhisho za ubunifu, vitendo na endelevu.
Mike Nkhombo Khunga

Bingwa wa Mifumo ya Chakula Mike Khunga, Malawi

By Franck Kuwonu
Muungano wa Asasi za Kiraia za Lishe (CSONA), Malawi

Bingwa wa Mifumo ya Chakula Divine Ntiokam, Kamerun

By Franck Kuwonu
Mwasisi na Mkurugenzi Mtendaji, Muungano wa Vijana wa Kilimo Bora kwa Hali ya Hewa (CSAYN), Kamerun
Shamba la mahindi katika Namibia.

Wakulima wa Afrika wanaweza Kufaidika kutokana na Sera bora za Kilimo za Umoja wa Ulaya

By Hans Wetzels
AfCFTA inaweza kuongeza juhudi za wakulima wa Kiafrika kushindana na EU
Mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini, Phelisa Frida Miya

Napenda kazi yangu kama mwanajeshi wa kikosi cha anga’ Phelisa Frida Miya, kutoka Afrika Kusini'

By Franck Kuwonu
Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, ni mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM

'Napenda kuufahamisha umma’

By Cristina Silveiro
- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.
Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo

'Jumuisha maafisa vijana kwenye jumbe za kulinda usalama'

By Franck Kuwonu
— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)
Nellie Mutemeri

AfCFTA yaweza kuinua mamilioni ya wanawake katika uchimbaji wa kiwango kidogo wa madini

By Nellie Mutemeri
Biashara Huru ya bara Afrika inaweza kubuni mikondo ya maadili na ujuzi kwa manufaa ya wanawake wengi wa Afrika walio katika uchimbaji madini
Mkurugenzi mwenza wa Africa Podfest Melissa Mbugua anaandaa tamasha hilo moja kwa moja kutoka Baraza

Kupodikasti kwapata umaarufu Afrika

By Josephine Karianjahi
Namna jukwaa la Afrika linavyozileta pamoja sauti katika chombo cha kijamii chenye msisimuo