缅北禁地

Kingsley Ighobor

Kingsley Ighobor

Kingsley Ighobor is a public information officer for the United Nations, New York. He is the managing editor at the Africa Renewal.

1

Kukabiliana na urithi wa utumwa kwa kulipa fidia

Bi. Epsy Alejandra Campbell Barr, Mwenyekiti wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa Asili ya Kiafrika, anawahimiza wazawa wa Kiafrika na Waafrika kushirikiana katika kushughulikia changamoto zinazofanana.

Hatua ya Tabianchi: Rwanda ni maabara ya mawazo bunifu

— Ozonnia Ojielo, 缅北禁地Resident Coordinator, Rwanda
Linda Chepkwony

AfCFTA: Ndoto za kijana mfanyabiashara zatimia

Mjasiriamali Mkenya wa miaka thelathini, Linda Chepkwony anataka kuwahamasiha vijana wa Kiafrika kusaidia kukuza viwanda barani kupitia mkataba wa biashara huria

Bloomberg, SEforAll announce plan to accelerate energy transition in developing countries

Michael Bloomberg and Damilola Ogunbiyi to expand partnership to mobilize financing for clean energy projects
Youth activists protest demanding leaders to address their loss and damage responsibility.

COP27: Masuala makuu kwa Afrika

Tusipuuze umuhimu wa ufadhili kama kichochezi cha mabadiliko kwa hasara na uharibifu

Mamilioni yaahidiwa katika hafla ya kuongeza kasi ya Afrika kukabiliana na tabianchi

Uingereza iliahidi dola milioni 230, Uholanzi dola milioni 110, AfDB dola bilioni 12.5, Ujerumani kuongeza mchango hadi dola bilioni 6 ifikapo 2025

Vijana wa Afrika katika COP27 wanasema wanataka hatua zichukuliwe, sio maneno tu

‘Sayari yetu imo taabani, na sisi, vijana, ndio tutakaoteseka iwapo hatua hazitachukuliwa kuinusuru’ – Yoanna Milad, mwenye umri wa miaka 21, kutoka Misri

Mfumo mpya wa malipo wa Afrika yote wawapa wanabiashara wa Afrika kitulizo

Uzinduzi wa PAPSS utaokoa dola bilioni 5 kila mwaka na kupiga jeki biashara kati ya mataifa ya Afrika
Balozi Collen Vixen Kelapile, Rais wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC)

Licha ya changamoto kubwa, bado tunaweza kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu ifikapo 2030

— Balozi Collen Vixen Kelapile, Rais wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC)
Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini ya hazina ya Kuwajibikia

Afrika yahitaji fedha zaidi kukabiliana na COVID-19

—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini ya hazina ya Kuwajibikia COVID-19 ya Umoja wa Afrika.
Profesa Benedict Oramah

'Lengo letu ni chanjo ya haraka kwa Waafrika milioni 800'

—Benedict Okey Oramah, Rais wa Afreximbank na Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini wa Hazina ya Kukabili ya Umoja wa Afrika ya COVID-19.
Damilola Ogunbiyi

Nishati itakuwa sehemu muhimu sana katika kufanikisha eneo huru la biashara Afrika

—Damilola Ogunbiyi, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Nishati Endelevu kwa Wote
Ukosefu wake walemaza utoaji wa chanjo ya COVID-19 barani Afrika

Ukosefu wake walemaza utoaji wa chanjo ya COVID-19 barani Afrika

Chanjo milioni 38 pekee ndizo zimepokelewa katika bara la watu wapatao bilioni 1.2
Akili ya Dijitali ni shirika la mawasiliano lililoko Niamey lililoanzishwa na Lisa na Ben...

AfCFTA: Wataalam, wafanyabiashara wataka ushiriki thabiti wa wanawake na vijana

Ripoti ya Siku zijazo inayoangazia changamoto na fursa za biashara barani Afrika.
Holocaust na Kituo cha Mauaji ya Kimbari

Mauaji ya halaiki hutendeka demokrasia inapokosekana

—Tali Nates, Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Johannesburg cha Mauaji na Mauaji ya Halaiki
Zainab Hawa Bangura, Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Umoja wa Mataifa Nairobi

Wanawake waliowezeshwa wanaweza kufungua uwezo uliolala wa maendeleo ya uchumi wa Afrika

— Zainab Hawa Bangura, Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Umoja wa Mataifa Nairobi
Wamkele Mene

AfCFTA: Utekelezwaji wa makubaliano ya biashara huru ya bara Afrika ni kichocheo bora kwa chumi za baada COVID-19

-Wamkele Mene, Katibu Mkuu, Idara ya Usimamizi wa Soko Huru la Bara Afrika (AfCFTA)
Ms. Wafula-Strike is founder of the Olympia-Wafula Foundation

COVID-19: Walemavu wakabiliwa na wakati mgumu

Umoja wa Mataifa Wataka walemavu wawe katika msitari wa mbele wa kufikiriwa
Ibrahim Mayaki

Jumuiya za Kikanda za Afrika zitafaidi wote

— Ibrahim Mayaki ni Afisa Mkuu Mtendaji wa Ushirikiano Mpya wa Maendeleo ya Afrika (NEPAD), ambao kwa sasa unageuka kuwa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Afrika (AUDA)—chombo cha utekelezaji wa Umoja wa Afrika.
Attendees at an FAO sub-regional training workshop on gender and livestock in Harare, Zimbabwe.

Uwezeshaji wa wanawake kiuchumi ni mzuri kwa kila mtu

Mataifa yapiga hatua kuondoa vikwazo vya mara kwa mara
Rescue operations of African migrants...

Uhamiaji ulio salama na ulioratibiwa

Mkataba wa kimataifa kuhusu uhamiaji waweza kukabili dhana hasi kwamba wahamaji ni kero